chikita

TANGAZA NASI

Monday, September 26, 2011

SIASA NA MAISHA

Mgombea Ubunge Jimbo la Igunga kwa tiketi ya Cuf, Leopold Mahona (kulia) akicheza mchezo wa bao kwenye kijiwe kilichopo mtaa wa kijiji cha Mbutu, Wilaya Igunga, jana, ikiwa ni sehemu ya kampeni yake ya kuomba kura kwa wananchi wa jimbo hilo. Picha na Fidelis Felix