Nghoboko Masele aliyejitambulisha kama balozi wa nyumba kumi kumi wa
CCM, katika kijiji cha Mwayunge Mashariki Kata ya Igunga, akiwa chini
ya ulinzi baada kukamatwa na wafuasi wa chadema akiorodhesha majina na
namba za shahada za wapiga kura pamoja na namba za simu zao katika jiji
hicho.jana. Picha na Fidelis Felix

